MTANGAZAJI

WAWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI (+PICHA)



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo wakati akiondoka
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  kuelekea Afrika
ya Kusini leo ambapo kesho atahudhuria sherehe za kuapishwa
kwa Rais wa nchi hiyo  Cyril Ramaphosa mjini Pretoria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete wakati
wakiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
tayari kuelekea Afrika Kusini leo  ambapo kesho watahudhuria
sherehe za kuapishwa kwa Rais wa nchi hiyo  Cyril Ramaphosa mjini
Pretoria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa ameongoza na na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula
wakielekea kwenye ndege  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Myerere jijini Dar es salaam tayari kuelekea Afrika Kusini leo ambapo kesho watahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa nchi
hiyo Cyril Ramaphosa mjini Pretoria

Picha na IKULU





No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.