MTANGAZAJI

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI NCHINI AFRIKA KUSINI KWA AJILI YA SHEREHE ZA UAPISHO WA RAIS (+PICHA)


Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa OR Tambo Nchini Afrika Kusini kwaajili ya kuhudhuria  Sherehe za Uapisho wa Rais wa nchi hiyo Cyril Ramaphosa ambaye anatarajiwa kuapishwa Mei 25,2019.



  Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais mstaafu wa awamu ya nne Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakiwa kwenye ndege ya Shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania) wakielekea Nchini Afrika Kusini kwaajili ya Sherehe za Uapisho wa Rais wa nchi hiyo Cyril Ramaphosa ambaye anatarajiwa kuapishwa Mei 25,2019.
    Picha na Ikulu



No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.