MTANGAZAJI

WALICHOKISHUHUDIA WAIMBAJI WA GOSPEL FLAMES QUARTET TOKA TANZANIA HUKO UFILIPINO

 
Mamia ya waumini wa Kanisa la Waadventista wa Sabato huko Ufilipino wameshuhudia tukio la ubatizo wa kwanza kwenye mkutano wa Injili unaoendeshwa na Mch Geoffrey Mbwana toka Marekani  na waimbaji wa Gospel Flames Quartet toka Tanzania

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.