MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:MIKUTANO YA TMI YA WAADVENTISTA WA SABATO YAZINDULIWA RASMI


Image may contain: 1 person, standing and outdoor
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato katika Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati Dr Joel Okindo

 Image may contain: 1 person


 Image may contain: 7 people, people standing, suit and outdoor



Image may contain: 2 people, people standing and suit
Kutoka kulia ni Dr Joel Okindo,Mch Mark Walwa Malekana Mwenyekiti wa Jimbo Kuu la Kusini Mwa Tanzania na Mch Joseph Mngwabi Mwenyekiti wa Jimbo la Mashariki Kati mwa Tanzania

Image may contain: 1 person, smiling, sitting
Dr Lukas Rugemalila Nzugu alipotoa hotuba yake ya kwanza
Mikutano wa Mahubiri ya TMI  inayofanyika nchini Tanzania kwa kuendeshwa na Kanisa la Waadventista Wa Sabato toka ulifunguliwa rasmi na Juni 10,Mwaka huu  kupitia Kituo Kikuu cha Mwenge na Dr Joel Okindo ambaye ni Msaidizi wa Mwenyekiti wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato katika Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati ambaye ndiye mratibu wa TMI kwa mwaka 2017.

Mkutano huo ambao pia utakuwa unarushwa na Morning Star Radio na Morning Star TV mubashara unaungana na matukio ya matendo ya huruma yanayoendelea kutolewa na kanisa hilo katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.