MTANGAZAJI

PICHA:FAMILY SINGERS KATIKA KUREKODI VIDEO YAO MPYA





Baadhi ya Picha za Waimbaji wa Family Singers toka Buguruni jijini Dar es salaam wakiwa wanarekodiwa video yao mpya ambayo inatarajiwa kutoka mapema mwaka huu.Video hiyo inarekodiwa na Kampuni mpya M-Production
Kundi hilo lina matoleo matatu ya audio na toleo moja la Santuri Mwonekano.
 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.