MBEYA:MKUU WA MKOA WA MBEYA ATEMBELEA PANDAHILL PATAKAPOCHIMBWA MADINI ADIMU DUNIANI KABLA YA KUANZA UCHIMBAJI
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla mwenye suti ya kaki akitembezwa na mwenyeji wake Mkurugenzi
wa kampuni ya Pandahil limited ndg Derick ambayo ndiyo inahusika na uchimbaji wa madini ya
adimu aina ya Niobium ambayo hutumika kutengeneza Ndege na computer
katika eneo la Songwe Gerezani Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya .(Picha
E.madafa, D.Nyembe)
|
Mkurugenzi
wa kampuni ya Pandahil limited ndg Derick ambayo ndiyo inahusika na uchimbaji wa madini ya
adimu aina ya Niobium ambayo hutumika kutengeneza Ndege na computer
katika eneo la Songwe Gerezani Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya
akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla aneo ambalo litachimbwa
madini hayo.
|
Ramani ya mradi
|
Mkurugenzi
wa kampuni ya Pandahil limited ndg Derick ambayo ndiyo inahusika na uchimbaji wa madini ya
adimu aina ya Niobium ambayo hutumika kutengeneza Ndege na computer
katika eneo la Songwe Gerezani Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya
akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla ramani itakayotumika
katika mradi huo
|
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla akizungumza jambo na viongozi wa kisiasa, kamati ya Ulinzi na usalama wilaya ya mbeya, uongozi wa kampuni ya Pandahil limited ambayo ndiyo inahusika na uchimbaji wa madini ya
adimu aina ya Niobium ambayo hutumika kutengeneza Ndege na computer
katika eneo la Songwe Gerezani Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya
|
Mwakilishi
wa kampuni ya Pandahil limited Mbeya Emanuel Kisasi ambayo ndiyo inahusika na uchimbaji wa madini ya
adimu aina ya Niobium akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la
mradi eneo la Songwe Gerezani Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya
|
Eneo ambalo litahusika kwa ajili ya uchimbaji wa madini ya
adimu aina ya Niobium ambayo hutumika kutengeneza Ndege na computer
katika eneo la Songwe Gerezani Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.
|
Post a Comment