MTANGAZAJI

WAIMBAJI WA LIGHTBEARERS JIJINI NAIROBI HII LEO

Waimbaji wa LightBearers toka jijini Dar es salaam wakiimba leo kwenye Kanisa la Waadventista Wa Sabato New Life la jijini Nairobi leo asubuhi
Hapa wakiimba katika Kanisa la Lovington jijini Nairobi,Kenya leo mchana ambapo kesho kuanzia saa 8 mchana kutakuwa na Tamasha la Uimbaji kanisani hapo utakaohusisha waimbaji wengine toka jijini Nairobi
Mwimbaji wa Kwaya ya Nairobi Ensemble Choir Dorine Katiba Achia (Mwenye gauni la Vitenge)akiwa na Waimbaji wa LightBearers
Mkurugenzi na mwimbaji wa LightBearers Waziri Barnabas (Mwenyetai Nyeusi) katika picha ya pamoja na baadhi ya Marafiki wa kundi hilo walioko Kenya na Tanzania

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.