MTANGAZAJI

MWANZA:MTANGAZAJI WA MORNING STAR RADIO NA MORNING STAR TELEVISHENI AFUNGA NDOA JIJINI MWANZA

 


 


 

 

 
 
 
Juni 26,2016 ni siku ambayo haitasahaulika kwa Mhariri wa Habari na Mtangazaji  wa Morning Star Radio na Morning Star Televisheni ,Sifael Lusiu  kwani alifunga ndoa Mussa Harun Ngollo huko jijini Mwanza,Ndoa iliyofungwa na Mch Christopher Ungani  ambaye pia ndiye Mkurugenzi wa vyombo vya habari vya kanisa la Waadventista wasabato Tanzania -TAMC

Sifael Lusiu aliyejinga na Morning Star Radio takribani miaka miwili akitokea TBC 1 ambako alifanya mazoezi yake ya utangazaji baada ya kumaliza Shahada yake ya Kwanza ya Mawasiliano ya Umma toka  Chuo Kikuu cha Tumaini huko Iringa ndiye Mhariri wa Habari wa Morning Star Radio na pia akitayarisha na kutangaza kipindi cha Vijana na Wakati na kile cha Kijijini kwa Babu.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.