PICHA:RAILA ODINGA AMTEMBELEA RAIS DKT. MAGUFULI NYUMBANI KWAKE CHATO MKOANI GEITA
![]() |
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha
Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga nyumbani kwake Chato mkoani Geita
mara baada ya Kuwasili
|
![]() |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akikumbatiana na Waziri Mkuu wa mstaafu wa Kenya Raila Odinga mara
baada ya kuwasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita.
|
![]() |
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga akisalimiana na
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli mara baada ya kuwasili Chato.
|
![]() |
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga akisalimiana na
mama mzazi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Bi Suzana Joseph Magufuli mara
baada ya kuwasili Chato Mkoani Geita.
|
Post a Comment