HISTORIA YA SURUALI ZA JEANS NA VISHIKIZO KWENYE MIFUKO YAKE HII HAPA
![](https://scontent-waw1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12994457_700616626747155_8694137509623225479_n.jpg?oh=aedbc8aae537f2159c567f2857ddb85c&oe=57C0B2B9)
Mavazi aina ya Jeans haswa Suruali zilitengenezwa nchini Marekani kwa mara ya kwanza kwa ajili ya wafanyakazi wa kipato cha chini kwa sababu zilikua ngumu , zinazodumu na zinazoweza kuhimili mengi .
Hata hivyo kwa kipindi hicho ilikua ni kawaida kwa mifuko ya suruali kuchanika kutokana na shuguli au vitu , ilikuwa ni tatizo kwa sababu mifuko ilitakiwa .
Kutokana na hilo fundi wa nguo bwana Jacob Davis , aliyekuwa mteja wa Levi Strauss & Co.( watengenezaji wa Jeans ) alikuja na wazo la kumaliza tatizo la kuchanika mwaka 1873 .
Yeye alitengeneza vishikizo vya shaba kwa pembeni ili mifuko isiwe inachanika wala kudondoka kiurahisi .
Jacob alitaka kuwa na hati miliki na ugunduzi huu lakini hakuna na uwezo wa fedha , kwahiyo mwaka 1872 aliwaandikia barua Levi Strauss kuwaeleza ili wamsaidie kulipa wafanye biashara .
Levi Strauss Walikubali na kuanzia siku hiyo suruali zilikua na vishikizo vya shaba kwa pembeni .
Na Yona Maro
Jacob alitaka kuwa na hati miliki na ugunduzi huu lakini hakuna na uwezo wa fedha , kwahiyo mwaka 1872 aliwaandikia barua Levi Strauss kuwaeleza ili wamsaidie kulipa wafanye biashara .
Levi Strauss Walikubali na kuanzia siku hiyo suruali zilikua na vishikizo vya shaba kwa pembeni .
Na Yona Maro
Post a Comment