MTANGAZAJI

PICHA:DR JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ALIVYOAPISHWA LEO KUWA RAIS WA TANZANIA WA AWAMU YA TANO

Dr John Pombe Joseph Magufuli akikagua gwaride kwa mara ya kwanza baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya tano                   
Dr John Pombe Joseph Magufuli akiapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Othman Mohamed Chande leo Novemba 5,2015 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.








Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania Othman Mohamed Chande





Rais Mstaafu Dr  Jakaya Mrisho Kikwete akipunga mkono wa kuaga









Viongozi wa madhehebu ya dini waliokuwepo kwenye sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano


Baadhi ya Viongozi wa nchi mbalimbali waliohudhuria wakiwa katika jukwaa kuu

Rais wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli akipongezana na mkewe baada ya kuapishwa leo Novemba 5,2015 kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaa.














No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.