MTANGAZAJI

PICHA:RAIS KIKWETE KATIKA ZIARA YA KUAGA NCHINI KENYA


 Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akiongozana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Mhe Haule wakisogea eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
 Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akisalimiana na kikundi cha kuimba Accapella  eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
 Ndege la Shirika la Ndege la Air Tanzania iliyomchukua Rais Kikwete ikiwasili uwanjani hapo
 Rais Kikwete akishuka katika ndege
 Rais Kikwete akilakiwa kwa furaha na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete akipokea shada la maua
 Rais Kikwete akitambulishwa kwa viongozi na maafisa mbalimbali wa Kenya
 Rais Kikwete akisalimiana na maafisa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
 Rais Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya
 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete akiongea na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete na mwenyeji wake Naibu Rais wa Kenya Mhe Wiliam Ruto wakiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma vilivyokwenda kumpokea uwanja wa ndege




 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwte akiweka saini kitabu cha wageni
 Rais Kikwete akiangalia picha mbalimbali zenye historia ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta
 Mratibu wa hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya akisom ratiba wakati wa kuanza kwa shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi 
  Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi


 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi




 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi


 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.