MTANGAZAJI

GOMA:ACACIA SINGERS TOKA TANZANIA WASHIRIKI TAMASHA LA SHEREHE YA MIAKA 30 YA KWAYA YA INJILI FAMILY LEO AGOSTI 30,2015


Acacia Singers wakiimba hii leo huko Goma
 

 

 

Kwaya ya Injili Family  ikiimba kwenye tamasha hilo

Tamasha la uimbaji la sherehe ya kutimiza miaka 30 toka waimbaji wa Injili Family Choir toka Kanisa la Birere wa waanze kuimba mwaka 1985 limefanyika huko Goma,DRC  hii leo Agosti 30 mwaka huu.

Mwandishi wa blog hii toka Pascanet Record ya Goma  anasema waimbaji pekee toka jijini Dar es salaam,Tanzania Acacia Singers ambao walihudhuria tamasha hilo wamekonga nyoyo za watu waliohudhuria tamasha hilo lililofanyika kwenye Kanisa la Waadventista Wa Sabato Birere hasa walipoimba nyimbo za Mnazarayo na Punda na Mwana Punda

1 comment

Unknown said...

ACCACIA choir tuliwa furahia sana.
Na jina la Bwana lipewe sifa.

Mtazamo News . Powered by Blogger.