MTANGAZAJI

PICHA:SIKU YA MAWASILIANO ILIVYOFANYIKA KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MAGOMENI MWEMBECHAI MACHI 14,2015

Gospel Flames
Joshua Ndege akiongoza mjadala wa Mwongozo wa Kujifunza Biblia
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini Tanzania Dk Edward Hosea akitoa shukrani kwa washiriki kwa jinsi walivyoshiriki naye katika msiba wa Mama yake Mzazi
Mgini Kweba akitoa somo la Watoto
Mch Jonas Singo akihutubia mamia ya waumini wa kanisa hilo ambapo hotuba hiyo pamoja na uimbaji vilirushwa na Morning Star TV






The Brothers
Victory Gospel Singers kutoka University of Arusha

The Living Voices Choir toka Kampala,Uganda wakiimba

Agape Singers


Kwaya ya Mogo ya jijini Dar es salaam



Kwaya ya Magomeni Mwembechai




1 comment

kuyenga said...

Asante kwa hii habari iliyoandaliwa vema katika picha!!!

Mtazamo News . Powered by Blogger.