MTANGAZAJI

GOMA:MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA KWAYA YA MESSAGE DE TROIS ANGES (MTA) YAFANYIKA GOMA




Cheti cha kuhitimisha miaka 25 ya kwaya Message de Trois Anges kikiinuliwa na viongozi wake Musubao (kushoto) na Mama  Okila (Kushoto)

Ndugu Azarie Kabwe akiwasha mishumaa 25 ya kazi ya MTA akisaidiwa na wach. Ezechiel (kushoto), na Makamu Mwenyekiti Musubao

Vikapu vilivyochukua DVD za kwaya MTA vikiletwa mbele na Mama Okila (kushoto) pamoja na Mama Kaysondera (kulia) 



Kikombe kilichotolewa na Narada Studio kwa kwaya M TA  kama  Kwaya iliYopendwa katika mwaka  2014 katika  mashindano kwenye Radio Televisheni Sauti ya Matumaini, Goma

Mwenyekiti wa Kwaya Message de Trois Anges, Azarie Kabwe akiinua kikombe pamoja na waandishi wa habari  Marc Nzilamba na Gilb toka Radio Sauti ya Matumaini


Injili Family Choir nao walikuwepo

Kwaya IL EST ECRIT, yaani (imeandikwa) ya Virunga Sda French church
Kwaya Uenezaji Gospel Ikiimba

Kwaya Rafiki za Yesu waliimba

Kwaya Yesu Araje ya Kigali, Rwanda ikiimba katika tamasha hilo.

Hivi karibuni waimbaji wa Kwaya ya Message de Trois Anges ya Goma, DRC walifanya tamasha la kuadhimisha  miaka 25 toka kwaya hiyo ilipoanzishwa ambapo walishirikisha waimbaji mbalimbali wa mjini Goma na Kigali,Rwanda kwenye tamasha hilo.

Hivi karibuni utasikia nyimbo mpya za kwaya hii katika kipindi cha Lulu za Injili cha Morning Star Radio

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.