MTANGAZAJI

KWAYA YA TUCASA MABIBO HOSTEL KUZINDUA SANTURI MWONEKANO YA PILI KESHO

Baadhi ya Viongozi wa kwaya ya TUCASA MABIBO Hosteli kutoka kushoto ni Musa Mwantimwa,Winfrida Magai,John Fedrick,Benjamin Mwalyambi na Tumaini Omary wakiwa katika studio za Morning Star Radio katika kipindi cha Lulu za Injili kinachoendeshwa na Mtangazaji Maduhu
Kwaya ya TUCASA Mabibo Hostel inayoundwa na wanafunzi wanaosoma Chuo Kikuu cha Dar es salaam kesho Desemba 21 mwaka huu wanataraji kuzindua santuri ya pili mwonekano yenye nyimbo 10 inayoitwa Usijisifu. Santuri hiyo iliyorekodiwa na JCB Studioz itazinduliwa kuanzia saa 6 mchana lengo likiwa ni kupata fedha za kufanikisha uinjilisti.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.