MTANGAZAJI

PICHA:GEORGE GACHU AFUNGA NDOA JIJINI DAR,HUKO RWANDA MWIMBAJI WA AMBASSADORS OF CHRIST AFUNGA NDOA

Mwimbaji wa nyimbo za Injili  na Mwalimu wa Kwaya George Gachu akiwa na mkewe baada ya kufunga ndoa julai 20,2014 katika kanisa la Waadventista Wa Sabato Mbezi Luis jijini Dar es salaam

Mwimbaji wa Ambassadors Of Christ Furaha Sandrine akiwa na mumewe  Tony Ngabo Karangwa  baada ya kufunga ndoa katika katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Rubavu Gisenyi Rwanda julai 7,2014

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.