KINACHOELEZWA KUWA NI BARUA YA RAIS WA BRAZIL KWENDA KWA NEYMAR
Mwandishi wa habari wa BBC Natalie Pirks katika wasifu wake kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Julai 5,2014 ameweka barua hii akiielezea kuwa ni barua ya Rais wa Brazil kwa Mchezaji wa Timu ya taifa ya nchi hiyo Neymar aliyeumia wakati wa mchezo wa soka wa Kombe la Dunia kati ya timu yake na timu ya Colombia ambapo Juan Carlos Zuniga alimgonga nyota huyo kwa nyuma na kuumia .
Alibebwa na kutolewa nje akiwa katika machela lakini ametolewa hospitalini baada ya kufanyiwa matibabu.
Post a Comment