MTANGAZAJI

MCH BLASIOUS RUGURI KUSHIRIKI UCHANGIAJI WA KANISA LA MAGOMENI MWEMBECHAI JULAI 21,2013

Photo: Blasious Ruguri on stage with Pr Mussa Mika translator
Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Afrika Mashariki na Kati Mch Blasious Ruguri(mwenye mic)

Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato nchini Tanzania Mch Godwin Lekundayo akihutubia kwenye ibada ya  Sabato ya Julai 20,2013 katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Magomeni Mwembechai jijini Dar es salaam,kulia kwake ni Dr Mpoki Ulisubisya, Mchungaji Lekundayo yuko jijini Dar es Salaam kwa ajili ya tukio la mkutano wa changizo kwa  Kanisa la Waadventista Wasabato Magomeni utakaofanyika Julai 21,2013 ambapo mgeni Rasmi ni Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Mch Blasious Ruguri,kanisa hilo linataraji kutumia shilingi bilioni 4 kwa ajili ya ujenzi

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.