BAADHI YA PICHA ZA MKUTANO WA VIJANA WA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO UNAOFANYIKA AFRIKA KUSINI
![]() |
| Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Mch Teddy Wilson akihutubia mkutano |
![]() |
| Dr Baraka Muganda toka Chuo Kikuu cha Washington akipewa tuzo |
![]() |
| Dr. Ben Carson mmoja wa waandishi wa vitabu mahili akihutubia |
![]() |
| Mkurugenzi wa Idara ya Vijana ECD,Mch Mwakalonge (Mwenyetai) nyuma yake ni Mch Elias Kasika |
![]() |
| Mch Teddy Wilson akiingia uwanjani (Picha zote na Darly Gungadoo wa AWR) |






Post a Comment