MTANGAZAJI

JERRY MURO YUKO HURU

Jerry Muro akiwa mahakamani
Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro pamoja na washitakiwa wenzake Deogratias Mgasa na Edmund Kapama waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuomba rushwa ya shilingi milioni 10,leo wamefutiwa mashitaka hayo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es salaam na kuwaachia huru.

1 comment

JigambeAds said...

Pole sana bro Jery Muro na tunashukuru Mungu kwa kuwa Huru!

Mtazamo News . Powered by Blogger.