MTANGAZAJI

LEO NI TAREHE 7 JULAI SIKU ALIYOZALIWA MTANGAZAJI

 Namshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kuifikia tena siku ya kuadhimisha kuzaliwa kwangu,BWANA apewe sifa kwa kuendelea kunipa uhai na kuendelea kuifurahia kazi ya utangazaji hapa Morning Star Radio 105.3 FM -Dar es salaam,Tanzania asanteni sana kwa wasikilizaji,ndugu marafiki kwa kuiunga mkono blog hii.
Mtangazaji Maduhu

3 comments

Nardi said...

Happy birthday mtangazaji, Mungu akujalie maisha marefu ukimtumikia Yeye na kutangaza habari zake. Enjoy ur day!

Simon Kitururu said...

Happy Birthday Mkuu!

Anonymous said...

hata huku algeria tunakutakia maisha mema na mungu aukulinde uifanyapo kazi yake kikamilifu

Mtazamo News . Powered by Blogger.