MTANGAZAJI

HARAMBEE YA GONGO LA MBOTO READING-UINGEREZA YAFANA

Frank Kutoka Urban Pulse  akiwa na tina kutoka Miss Jestina  wakila pozi baada ya harambee.
                                                              Jestina Akiwa kazini.
                                                                     Mdau akichangia jambo
Mkurugenzi Mtendaji wa LOCUS IMPEX SHIPPING MR B CHISUMO akifungua Harambee.
                                     Mtoto Chanele akimpa Mchango wake Miss Jestina.

                                                       Toa Ndugu ikiendela.

               Baada ya kazi, kutoka kushoto JJ, Chisumo, miss Jestina,Gardol na Frank.
 
Salam,

Tunapenda kutoa shukrani zetu za Dhati kwa watanzania wote  waishio  Reading UK walioweza Kuja Leo mchana Vincent  kuchangia wahangwa wa Gongo la Mboto  Tanzania. Kwa mda wa saa moja tumekusanya Jumla ya  pesa taslim Pounds £200 Pia tumekusanya Nguo nyingi kutoka kwa watu mbalimbali. Tafadhali Kumbuka bado hujachelewa kwa wakazi wa Reading ambao hawakuweza kufika leo mnaweza kupeleka michango yenu Vincent siku ya mwisho ya kukusanya ni jumanne ijayo tarehe 1.3.11.

Ningependa kutoa shukrani za dhati kutoka URBAN PULSE,MISS JESTINA BLOG,AIL TV, LOCUS IMPEX SHIPPING CO, SHILLA FRISCH, MRS NASIBU NA Utawala wa Vincent Restaurant Reading kwa kusaidia zoezi la leo.

Mungu Ibariki Africa, Mungu Ibariki Tanzania
Asanteni

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.