MTANGAZAJI

MTOTO MIRIAM CHIRWA NDANI YA MORNING STAR LEO

Mtoto mwenye ulemavu ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za Injili akiwa na albamu mbili hivi sasa Miriam Chirwa akiwa na mdogo wake ambaye pia ni mlemavu pamoja na wazazi wao muda mfupi baada ya mahojiano maalum katika kipindi cha Lulu za Injili hii leo ambapo ilikuwa ni maadhimisho ya siku ya MTOTO WA AFRIKA,Miriam ametunga wimbo maalum ambao kwa ajili ya siku hii unaokwenda kwa jina la Imarisha Familia.

3 comments

Anonymous said...

Ndugu Maduhu. Nimemshuhudia huyu mtoto akiimba kwenye youtube. kwakweli ni kipaji alichopewa na Mungu. Watoto wangu huacha kila kitu na kukimbilia kumtazama na kumsikiliza anapoimba pamoja na kwamba hawajui kiswahili vizuri! Kwani wako nasi huku ughaibuni. Mungu azidi kuwatangulia yeye pamoja na familia yake. Ona walivyojaa nyuso za furah pamoja na matatizo yote.

Anonymous said...

hi samahani sana ila ningependa kumsikiliza huyo mtoto akiimba nimemtafuta kwenye youtube ila sijaona unaweza kunielekeza anatumia jina langu kwenye youtube, thankx

Anonymous said...

Ndugu hapo juu; tafadhali nenda youtube halafu type 'miriam-wazazi' atakuja juu ya screen utafungua na kumtizama akiimba kanisani Mikocheni.

Mtazamo News . Powered by Blogger.