KONGAMANO LA UIMBAJI LILIVYOFANA-MOROGORO
Mbaraka Mchome ambaye ndio alikuwa mratibu wa kongamano hili naye sasa amekuja na upigaji wa gitaa na kuimba
Kijana Mugisha toka Dar es salaam akipiga gitaa na kuimba,kijana huyu anapapasa kinanda,anapiga gitaa na kuimba
Post a Comment