KONGAMANO LA UIMBAJI LILIVYOFANA-MOROGORO
Dr Isack na mwalimu wa chuo cha utabibu IMTU ambaye pia ni mwimbaji wa kwaya ya Magomeni akiimba na kupiga gitaa
Mtangazaji naye hakuwa nyuma katika kuimba kwa hisia kali
Mbaraka Mchome ambaye ndio alikuwa mratibu wa kongamano hili naye sasa amekuja na upigaji wa gitaa na kuimba
Kijana Mugisha toka Dar es salaam akipiga gitaa na kuimba,kijana huyu anapapasa kinanda,anapiga gitaa na kuimba
Mbaraka Mchome ambaye ndio alikuwa mratibu wa kongamano hili naye sasa amekuja na upigaji wa gitaa na kuimba
Kijana Mugisha toka Dar es salaam akipiga gitaa na kuimba,kijana huyu anapapasa kinanda,anapiga gitaa na kuimba
Ngomoi Fadhili akiwa na mdogo wake wakiimba
Mugisha akipapasa kinanda kwa makini
Kijana Chacha toka Dar es salaama naye alikuwepo
Jamaa toka nchini Zimbabwe pamoja na kuwa mbali na nyumbani lakini bado yu aimba na akina dada toka Dar es salaam
Kundi la Mugisha toka Mikocheni jijini Dar es salaam
Hawa ni Christian Daugthers wakiimba kwa umakini
Si kwamba kutokana na masomo wanakosa muda wa kuimba bali wako safi katika uimbaji ni wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kilakala
Post a Comment