MTANGAZAJI

BREAKING NEWS

Habari ambazo zimeifikia blog hii sasa hivi zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa Mhazini wa Kiwanda cha Uchapaji cha Tanzania Adventist Press (TAP) Mzee Eliaman Kachua amepata ajali mbaya ya gari huko Mbwewe ambapo alikuwa akisafiri leo na ndugu zake kwenda Kilimajaro kwenye Arusi akiwa na Bwana arusi,Mzee Kachua ndo alikuwa akiendesha gari lake lililopata ajali. Taarifa hizo zinaeleza kuwa majeruhi wamepelekwa Tumbi,Kibaha

Blog hii itakupa habari kadri inavyoondelea kuzifuatilia

2 comments

Miracela said...

Heyza ..
randomly came to your site and took the opportunity to see me around a bit.
deeply impressed very good website
good luck in future
Hug
Miracela

(¯`•´¯)
...`.•.,(¯`•´¯)
...(¯`•´¯).•´
....`•.,.•´
.......I.
.......I.
.......I.

Anonymous said...

maduhu tunapenda utufamishe zaidi kuhusu tukio hili ya kusikitisha la ajali, tunaona imekuwa kimya tu

Mtazamo News . Powered by Blogger.