4 comments
-
Anonymous said...
-
Picha nzuri sana kweli JK mtu wa watu.
-
May 24, 2009 at 4:30 PM
-
Anonymous said...
-
Yaani,Watanzania tulivyo na roho ngumu!Rais anasimama halafu raia wanakaa starehe tena bila wasiwasi,hii ni kukosa heshima kwa huyu tuliyempatia dhamana ya kutuongoza.
Hebu tujaribu kuwa na heshima kwa viongozi wetu. -
May 27, 2009 at 1:45 AM
-
Anonymous said...
-
Kweli usilo lijua litakusumbua... waswahili bwana kila kitu lazima watoe kasoro. Kwani ukisifia kikaisha itakuwaje???? Tuache chuki jamaa.
-
May 27, 2009 at 4:39 PM
-
Mwema Jr said...
-
kusimama kwenye ndege ni jambo la kawaida..pengine alipiga picha kwa dakika 2-3 kisha alikaa....
-
May 29, 2009 at 8:03 AM
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment