MTANGAZAJI

HAPO VIPI?

Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete(aliyesimama) katika picha na Dr Mpoki Mwasumbi na Mama Mwasumbi(Mama Mzazi wa Dr Mpoki)ndani ya "pipa" Huyu ndo JK mtu wa watu

4 comments

Anonymous said...

Picha nzuri sana kweli JK mtu wa watu.

Anonymous said...

Yaani,Watanzania tulivyo na roho ngumu!Rais anasimama halafu raia wanakaa starehe tena bila wasiwasi,hii ni kukosa heshima kwa huyu tuliyempatia dhamana ya kutuongoza.
Hebu tujaribu kuwa na heshima kwa viongozi wetu.

Anonymous said...

Kweli usilo lijua litakusumbua... waswahili bwana kila kitu lazima watoe kasoro. Kwani ukisifia kikaisha itakuwaje???? Tuache chuki jamaa.

Mwema Jr said...

kusimama kwenye ndege ni jambo la kawaida..pengine alipiga picha kwa dakika 2-3 kisha alikaa....

Mtazamo News . Powered by Blogger.