MTANGAZAJI

RAIS WA RWANDA PAUL KAGAME AWASILI NCHINI NA KUPOKEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI










Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alivyompokea  mgeni wake Rais wa Rwanda Paul Kagame mara baada ya kumpokea katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNIA) jijini Dar es Salaam hii leo.(Picha zote na Ikulu)

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.