MTANGAZAJI

PICHA:MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU YA WATANZANIA KUAGA MIILI YA WANAFUNZI,WALIMU NA DREVA HUKO ARUSHA

Image may contain: 1 person, outdoor
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan  akihutubia wakati wa  kuaga Miili ya Wanafunzi,Walimu na dreva waliopoteza maisha kwa ajali ya gari (Picha kwa Hisani ya Sheila Simba)


Image may contain: 8 people, crowd


Image may contain: 12 people, crowd

 Image may contain: 12 people, crowd and outdoor

 Image may contain: 1 person, crowd, sky and outdoor

Image may contain: one or more people and outdoor

 Image may contain: one or more people, crowd, sky and outdoor
Baadhi ya picha za tukio la kuaga miili ya wanafunzi  32 ,walimu wawili na dreva mmoja wa  Shule ya Kiingereza ya Lucky Vicent ya jijini Arusha waliopoteza maisha kutokana na ajali ya gari iliyotokea Mei 6,mwaka huu

Uagaji wa miili hiyo lililfanyika leo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ambalo lilihudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Arusha pamoja na Viongozi wa Serikali wakiongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Hassan Suluhu.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.