MTANGAZAJI

MAKALA:MIMBA ZA UTOTONI BADO NI KIKWAZO KWA WATOTO WA KIKE NCHINI TANZANIA


Image result for watoto wa kike
Picha kwa hisani ya www.tanzaniatoday.co.tz
Miongoni mwa Vikwazo katika kupata elimu kwa Watoto wa Kike wanaosoma shule za msingi na sekondari nchini Tanzania ni tatizo la mimba za utotoni ambapo Takwimu zinaonesha kuwa kila mwaka kumekuwa na ongezeko la wanafunzi wa kike wanaopata ujauzito katika mikoa mbalimbali nchini humo.

Katika  maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani mwaka 2017  Waziri anayesimamia   Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,jinsia  wazee na Watoto nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo zinaongoza kuwa na idadi kubwa ya mimba na ndoa za utotoni ambapo takwimu zinaonyesha kuwa wasichana wanaopata mimba za utotoni wameongezeka na kufikia asilimia 27 kwa mwaka 2015 tofauti na ilivyokuwa asilimia 23 kwa mwaka 2010. 
 Sikiliza makala ya jumahili

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.