MTANGAZAJI

ARUSHA: THE GOLDEN GATE WAKO SAKINA JIJINI ARUSHA KWA MAKAMBI MWALIMU WAO AMEZUNGUZIA UJIO HUO

 

Waimbaji 21 wa Kwaya ya The Golden Gate toka Kampala Uganda ambayo imedumu kwa miaka zaidi ya 40 wako kwenye Makambi ya Sakina jijini Arusha ambayo yalianza Agosti 13 na kutarajiwa kumalizika Agosti 20 mwaka huu.

Idadi hiyo ya waimbaji inajumuisha waimbaji waliokuwepo toka kwaya hiyo inaanzishwa.

Miongoni mwa Video ya waimbaji hao ambayo imeonekana kusambazwa na watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii hasa WhatsApp ni ile ya wimbo wao wa zamani wa Twaimba Tumejaa Furaha waliyoiimba kwenye mkutano huo hivi karibuni.

Yafuatayo ni Mahojiano na Mwalimu na Mwimbaji wa Kwaya ya The Golden Gate Muanika Samweli Kigozi

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.