MTANGAZAJI

ZANZIBAR:NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NCHINI TANZANIA ATEMBELEA IDARA YA UHAMIAJI ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Hamad Masauni, akisalimiana na Maofisa wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar wakati wa ziara yake kutembelea Idara hiyo ya Uhamiaji Zanzibar.kushoto Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Hamad Masauni, akisalimiana na Maofisa wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar wakati wa ziara yake kutembelea Idara hiyo ya Uhamiaji Zanzibar.Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Hamad Yussuf Masauni akipata maelezo kutoka kwa Afisi wa Uhamiaji Zanzibar wakati wa ziara yake katika Idara ya Uhamiaji Zanzibar. 

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani akimsikiliza Afisa Uhamiaji Zanzibar akitowa maelezo ya jinsi ya kuweka kumbukumbu za Passport wakati wa ziara yake.


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe Hamad Yussuf Masauni akizungumza na Maofisa wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar baada ya ziara yake ya kujitambulisha na kuangalia ufanisi wa kazi za Idara hiyo Zanzibar.
Maofisa wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Eng Hamad Yussuf Masauni akizungumza na Maofisa hao baada ya ziara yake kutembelea Idara hiyo kuina ufanisi wa Kazi zake kwa Wananchi wanaofika kupata Passport.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot
Zanzinews.com 


No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.