MTANGAZAJI

BAADHI YA PICHA TOKA ENEO LA AJALI ILIYOSABABISHA KIFO CHA MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA ABIRIA WENZAKE

Askari Polisi na wataalamu wakikagua mabaki ya Chopa namba 5Y-DKK iliyoanguka Oktoba 15,2015 sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous iikitokea Dar es salaam kuelekea Ludewa ambapo Mbunge wa Ludewa,Deo Filikunjombe,Rubani Capt Wiliam Silaa na abiria wengine wawili Casablanca Haule na Ngondombwitu Nkwera walipoteza maisha
Waokoaji wakiwa wamebeba mabaki ya miili ya Marehemu
Miili yote ya Marehemu  imepelekwa jijini Dar es salaam kutoka katikati ya mbuga ya Selou kitalu R3 ,mwili wa Filikunjombe utaagwa  jumamosi Oktoba 17,2015 jijini  Dar es salam  na kusafirishwa kwenda Ludewa kwa mazishi yatakayofanyika jumapili .

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.