MTANGAZAJI

GOMA:MWIMBAJI WA MESSAGE DES TROIS ANGES AFUNGA NDOA

  
 
 




 

 

 

Mwimbaji wa Kwaya Message des Trois Anges ya Mabanga Mjini Goma,DRC,Jolie Soko jana Septemba 27,2015 amefunga ndoa na  JOLIE SOKO Ameunganisha na Mumbere Thabulya Ndada ambaye ni Daktari toka Mradi wa  Heal Africa ambaye ni mshiriki wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato  Franco Goma Ville linaloendesha ibada kwa lugha ya Kifaransa lililopo Goma.

Sherehe ya Arusi ya wawili hao ilifanyika katika eneo liitwalo Biefesta,Message des Trois Anges ni miongoni mwa waimbaji toka Goma,DRC ambao husikika nchini Tanzania na DRC kupitia Morning Star Radio na Morning Star Televisheni. 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.