MTANGAZAJI

ARUSHA:AMIR JESHI MKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE AFUNGUA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU CHA JESHI LA WANANCHI ARUSHA SEPTEMBA 13, 2015


1
Mkuu wa Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu Meja Jenerali Ezekiel Kyunga kulia akimuonyesha Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete maeneo mbalimbali ya Chuo hicho muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuzindua Chuo hicho eneo la Duluti nje kidogo ya mji wa Arusha jana.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange. 
2 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vitabu katika maktaba ya Chuo cha Unadhimu na Ukamanda alichokizindua
3
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia mitaala inayofundishwa katika chuo cha Ukamanda na Unadhimu katika moja ya kompyuta chuoni hapo muda mfupi baada ya kuzindua chuo hicho eneo la Duluthi nje kidogo ya mji wa Arusha.Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Meja Jenerali Ezekiel Kyunga  
4 Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akitoa ushauri wakati akikagua majengo ya Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo eneo la Duluti nje kidogo ya mji wa Arusha jana. Wapili kushoto ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda,kushoto ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange, Wapili kushoto ni Mkuu wa chuo hicho Meja Jenerali Ezekiel Kyunga na kulia ni mwakilishi kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu Balozi Ibrahim Al Suweidy.Umoja wa Falme za Kiarabu ulishirikiana na Serikali kufadhili ujenzi wa Chuo hicho. 
5 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Chuo cha Ukamanda na unadhimu Dukuti nje kidogo ya mji wa Arusha.  
6Muonekano wa baadhi ya majengo ya Chuo cha Unadhimu na ukamanda.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.