MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:WAIMBAJI WA GOSPEL FLAMES WAELEKEA AFRIKA KUSINI

Waimbaji wa Kundi la Gospel Flames wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Agosti 29 mwaka huu kuelekea  Afrika Kusini  kwenye  mkutano wa kimataifa wa juma moja, kutoka kulia ni Ezekiel Mukundi, Tumaini Lameck, Abraham Mwapongo na Ahadi Sagati(picha ya kwanza)

1 comment

kuyenga said...

Mkutano gani, Mtangazaji?

Mtazamo News . Powered by Blogger.