MTANGAZAJI

DODOMA:WAADVENTISTA WA SABATO WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MAJENGO


 



 
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Betty Mkwasa akikabidhiwa vifaa vya kufanyia usafi
Mchungaji Michael Twakaniki akiongea kweye tukio hilo
Mchungaji Joshua Malongo akiimbisha wimbo
 

Mei 3 mwaka huu Kanisa la Waadventista wa Sabato katika makanisa yake yote yaliyopo Manispaa ya Dodoma yalishiriki kufanya usafi soko kuu la Majengo. Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Betty Mkwasa. Zoezi lilitanguliwa na maandamano yaliyoanzia Nyerere Square hadi Majengo Sokoni.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.