MTANGAZAJI

PICHA:WACHUNGAJI WATANO WAWEKEWA MIKONO YA UTUMISHI JIJINI MWANZA

 

 

 
 
 
 

Dr Godwin Lekundayo katika ya wachungaji walioketi baada ya katika picha ya pamoja na wachungaji


 
 


 

 

Kwaya ya Jiwe Kuu

Kirumba Adventist Choir wakiimba
Wachungaji na wake zo wakiimba
Mwenyekiti wa Jimbo Kuu la Kaskazini mwa Tanzania katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Dr Godwin Lekundayo ameongoza huduma ya kuwekewa mikono wachungaji watano iliofanyika katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kirumba,Mwanza,Aprili 18,mwaka huu.

Wachungaji waliowekewa mikono ni Mch.Robert Matekele,Mch. Jeremia Hamis,Mch Paul Kwilasa,Mch Nuhu Suleiman na Mch Joram Kilinda

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.