MTANGAZAJI

PICHA :ULIVYOKUWA UZINDUZI WA SANTURI MWONEKANO YA KWAYA YA VIJANA USHINDI MIKOCHENI B,JIJINI DAR ES SALAAM

Kwaya ya Vijana Ushindi wakiimba wakati wa Uzinduzi wa Santuri Mwonekano ya Kwanza hii leo





Kikundi cha Born To Praise toka Tegeta



Kwaya ya Vijana ya Pugu ikiimba




Kikundi cha Smrina

Miriam Thomas Chirwa naye alikuwepo


Sonda ya Dilu

Kwaya ya Vijana Mbagala waliimba



Wilson Samweli akiimba

Acacia Singers









Kwaya ya Vijana ya Ushindi toka Mikocheni B,jijini Dar es salaam Aprili 6,2015 wamezindua Santuri yao Mwonekano ya Kwanza katika DVD iitwayo Ni Wewe yenye nyimbo 10 ambayo imerekodiwa na Vocappella Media.

Tamasha la uzinduzi huo lilihu ulihudhuriwa na vikundi pamoja na wapenzi mbalimbali wa nyimbo za Injili,tukio ambalo lilifanyika katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Ushindi lililoko Mikocheni B

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.