MTANGAZAJI

WAADVENTISTA WA SABATO WASHIRIKI KATIKA MATENDO YA HURUMA JIJINI ARUSHA








Huduma ya Matendo ya Huruma inayoratibiwa na Idara ya Vijana wakishirikiana na Idara ya Mawasiliano ya Kanisa La Waadventista Wa Sabato inaendelea Nchini Tanzania. 

Katika kona mbalimbali za Jiji la Arusha Viongozi na Vijana wanaonyesha Ukristo kwa Vitendo kwa kuwahudumia wahitaji wa aina mbalimbali wakiwemo wagonjwa,wajane,watoto yatima,wazee,walemavu na watoto waishio mazingira hatarishi.

2 comments

Unknown said...

Haya ndio matendo makini na mazoezi halisi ya kukua kiroho, kijamii, kiuchumi na kiakili

Anonymous said...

Amen, Mungu awabariki kwa kazi hii kubwa ya kuigusa jamii.

Mtazamo News . Powered by Blogger.