MTANGAZAJI

MWANZA:WAIMBAJI WA KWAYA YA KIRUMBA WAFANYA BONANZA LA MICHEZO

 









 
Bonanza la Michezo lililoandaliwa na  Kwaya ya kanisa la Waadventista Wa Sabato Kirumba (KAC) la jijini Mwanza, Bonanza hili lilifanyika katika viwanja vya Bwiru Press likiwahusisha waimbaji  wote kwa lengo la kukuza uhusiano, kujenga miili yao na kuondoa misongo kutokana na shughuli za kila siku za maisha. Bonanza hilo lilifanyika mnano Machi  08,2015.
 
Waimbaji wa KAC walishiriki katika michezo ya  riadha-mbio fupi, kuvuta kamba, soka, zoezi la sauti na kukimbia kwa magunia.
 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.