MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:MORNING STAR TV YALETA TUZO KWA WAIMBAJI WA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO NCHINI


 

 

 Kituo cha Televisheni kinachomilikiwa na Kanisa la Waadventista Wa Sabato cha Morning Star TV kilichopo jijini Dar es salaam kitaanza mashindano kwa ajili ya kutoa tuzo ya kwanza nchini iitwayo Groove Music Awards 2015,ili kushiriki  inapaswa ujaze fomu kwa ajili ya  usajiri utakaohitimishwa Machi 17 mwaka huu.Maelezo zaidi angalia katika hizo picha mbili.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.