MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:PICHA ZA HITIMISHO LA MAKAMBI YA MTAA WA MWENGE WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO

 
 Mchungaji Mstaafu na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Union Mission ya Tanzania Mchugaji Kajura naye alikuwepo,nyuma yake ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma wa Union Mission ya Kusini mwa Tanzania Mch Steven Leta
Mchugaji Michael Twakaniki toka Dodoma alikuwa miongoni mwa wahudumu kwenye makambi
Waimbaji wa Ujasiri toka Dodoma wakiimba
Acacia Singers nao waliimba
 



Makambi ya Mtaa Mwenge katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mwenge yamehitimishwa julai 19,2014. (Picha zote na May Esau Ibogo)

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.