MTANGAZAJI

JAMII PRODUCTION:MJADALA KUHUSU MAJUKUMU NA WAJIBU WA KIJANA KWA NCHI YAKE.

Katika kipengele cha HUYU NA YULE, wiki hii tuliungana na VIJANA WATATU
Liberatus Mwang'ombe, Peter Walden na Ally Badawy kujadili MAJUKUMU NA WAJIBU WA KIJANA KWA NCHI YAKE.
Ali Badawi (kushoto), Peter Walden (kati(na Liberatus Mwang'ombe (kulia) wakiendelea na mjadala ndani ya studio za Jamii Production
Ulikuwa ni mjadala mrefu na huru ambao ulikuwa na mengi ya kufunzana
Karibu uungane nasi
Wakati tukimalizia mjadala kuhusu MAJUKUMU NA WAJIBU WA KIJANA KWA NCHI YAKE, Peter Walden alimuuliza Liberatus Mwang'ombe swali kuhusu kufunguliwa kwa matawi ya vyama vya siasa nje ya nchi.
Liberatus ni Katibu Mkuu wa Tawi la Chadema hapa Washington DC
Hapo pakawa na ka-mjadala kadoooogo ambako hata Ally Badawy na mwongozaji wa kipindi Mubelwa Bandio wakachangia.
Karibu usikilize

Kwa maoni, ushauri, nk usisite kutuandikia jamiiproduction@gmail.com

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.