KAZI YAANZA UNIONI YA TANZANIA KUSINI YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO
![Viongozi wapya wa Union ya Kusini mwa Tanzania wakiwa na viongozi wa koferensi ya nyanda za juu kusini pamoja na viongozi wa mashariki mwa Tanzania tarehe 12/11/2013 siku ya jumanne. Viongozi hao walikutana katika ofisi za makao makuu ya kanisa la Waadventista wa Sabato Kusini mwa Tanzania zilizopo Tegeta Dar es Salaam kama zinavyoonekana hapa chini. Uchaguzi wa viongozi na watendakazi utafanyika tarehe 5 - 6 Desemba, 2013. Viongozi wapya wa Union ya Kusini mwa Tanzania wakiwa na viongozi wa koferensi ya nyanda za juu kusini pamoja na viongozi wa mashariki mwa Tanzania tarehe 12/11/2013 siku ya jumanne. Viongozi hao walikutana katika ofisi za makao makuu ya kanisa la Waadventista wa Sabato Kusini mwa Tanzania zilizopo Tegeta Dar es Salaam kama zinavyoonekana hapa chini. Uchaguzi wa viongozi na watendakazi utafanyika tarehe 5 - 6 Desemba, 2013.](http://tuadventist.org/images/stories/stum%20leaders2.jpg)
Viongozi wapya wa Union ya Tanzania Kusini wakiwa na viongozi wa
koferensi ya nyanda za juu kusini pamoja na viongozi wa mashariki mwa
Tanzania tarehe 12/11/2013 siku ya jumanne. Viongozi hao walikutana
katika ofisi za makao makuu ya kanisa la Waadventista wa Sabato Kusini
mwa Tanzania zilizopo Tegeta Dar es Salaam kama zinavyoonekana hapa
chini. Uchaguzi wa viongozi na watendakazi utafanyika tarehe 5 - 6
Disemba, 2013.
![](http://tuadventist.org/images/stories/stum%20building.jpg)
Post a Comment