MTANGAZAJI

KAZI YAANZA UNIONI YA TANZANIA KUSINI YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO




 Viongozi wapya wa Union ya Kusini mwa Tanzania wakiwa na viongozi wa koferensi ya nyanda za juu kusini pamoja na viongozi wa mashariki mwa Tanzania tarehe 12/11/2013 siku ya jumanne. Viongozi hao walikutana katika ofisi za makao makuu ya kanisa la Waadventista wa Sabato Kusini mwa Tanzania zilizopo Tegeta Dar es Salaam kama zinavyoonekana hapa chini. Uchaguzi wa viongozi na watendakazi utafanyika tarehe 5 - 6 Desemba, 2013.

Viongozi wapya wa Union ya Tanzania Kusini  wakiwa na viongozi wa koferensi ya nyanda za juu kusini pamoja na viongozi wa mashariki mwa Tanzania tarehe 12/11/2013 siku ya jumanne. Viongozi hao walikutana katika ofisi za makao makuu ya kanisa la Waadventista wa Sabato Kusini mwa Tanzania zilizopo Tegeta Dar es Salaam kama zinavyoonekana hapa chini. Uchaguzi wa viongozi na watendakazi utafanyika tarehe 5 - 6 Disemba, 2013.

 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.