MTANGAZAJI

WANAFUNZI WA TAMBAZA NA ZANAKI WASHIRIKI KUTOA MAONI YA RASIMU YA KATIBA YA TANZANIA

 
Photo: Tumekuwa na Program ya Baraza la Kikatiba la Kitaasisi hale Tambaza High School
Wanafunzi walioshiriki utoaji wa Maoni ya Rasimu ya Katiba wakiwa na nakala za rasimu
Wanafunzi wakisoma Rasimu ya Katiba
Wanafunzi wapatao 250 wa Shule za Sekondari za Tambaza na Zanaki za jijini Dar es salaam wameshiriki katika utoaji wa maoni ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 
 
 Katika Baraza hilo la kitaasisi linalosimamiwa na taasisi ya National Civic and Debate Conference (NCDC) wameamua kukusanya maoni hayo kutoka kwa wanafunzi kwani ndiyo taifa la sasa na baadaye na mawazo yao yana msingi mkubwa katika kupata katiba ambayo itakubalika na vijana (ambao siku za mbeleni) kwa ambao wanapaswa  kushirikishwa moja kwa moja katika mchakato wa kuipata. 
 
Alibainisha Mkurugenzi Mtendaji wa NCDC Bw. Jonathan N. Mnyela amesema Agosti 30,2013 kutakuwa na Baraza la Ktaasisi litakalofanyika shule ya sekondari ya  Jangwani kwa kuratibiwa na taasis hiyo

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.