MTANGAZAJI

TAMASHA LA AMBASSADORS OF CHRIST TOKA RWANDA JIJINI DAR ES SALAAM


Waimbaji wa Ambassadors of Christ toka Kigali,Rwanda wanatarajiwa kufanya tamasha la uimbaji jijini Dar es salaam,Tanzania.Tamasha hilo ambalo litahusisha waimbaji wa TM Music,Kurasini SDA Choir,Acacia Singers na Miriam Chirwa litafanyika Disemba 4,2011 katika ukumbi wa Dimond Jubilee na Disemba 11,2011 katika uwanja wa CCM-Kirumba,Mwanza.

10 comments

Fratern Michael said...

Pamoja sana kaka, I'll be the first to attend as u know these people are real bleased one and are my close friends!!!! Please come one come all!!!!

Anonymous said...

unateTwawasubiri kwa hamu kubwa na pia tuwaombee kwa sababu shetani ana hasira na kazi ya MUNGU na pale inapoonekana inamwangusha katika mipango yake mibovu.

Abraham Jese,
Dar es salaam University College of Education.

Abraham Jesse said...

Natamani siku hiyo ifike jamani,nawatakia afya njema hata tuonane tna.

Anonymous said...

Oh, that is great,,,naamini siku hiyo itakua ya kihistoria itakua kubwa kuliko zote ambazo wamewahi kufanya Tz..Natamani ningekuwepo Tz tarehe hizo Mungu awabariki na awape afya njema, tunangoja siku hiyo kwa hamu kubwa..

Anonymous said...

duuuuh!!! we ll never miss them, me n ma family,coz mtoto wadada yangu hua ananyamaza kulia kama akisikia nyimbo za ambassador,so if ma cster want 2 do somthing without bothering she put ambassador's DVD then mtoto anckiliza na kucheza kabisa nyimbo zote,n c'o cc 2 hadi majirani wanashangaa jinsi mtoto anvyo shangaza yaani ukitoa tu atalia vibaya mno,mtoto mwenyewe ana miezi nane tuu....Mungu atupe uzima tuu! thanx Maduu endelea kutu update!

Anonymous said...

Absolutely!!
From Arusha, I'll be there.
Muze

Anonymous said...

Kwa mapenzi ya Mungu,sitafika Dar lakini from Musoma nita kuwepo Kirumba Mwanza.

Mgeta Daud said...

That is good news. God bless them abundantly cos though bad memories of that terrible tragedy are still ringing in their minds, they are taking yet another bold milestone to serve our Lord in our territory again.

magumbas said...

thank you mr MADUHU for you music player. i've ejoyed a lot may the Lord bless u and awards you with more talents
MAGUMBA LAZARO-ARDHI UNIVERSITY
0714134900

magumbas said...

thanks for ur musics

Mtazamo News . Powered by Blogger.