MTANGAZAJI

WADAU WA ELIMU TANZANIA MPO???

Mwalimu wa Shule ya Msingi Bungo mkoani Morogoro akisimamia mitihani ya darasa la nne

1 comment

Chambi Chachage said...

Hii ni hatari sana, hii ni moja ya shule nzuri (kwa viwango vya Tanzania) ambayo nimewahi kuiona/kuitafiti, sasa kama na yenyewe imefikia hapo sijui zingine vipi? Nahisi hii inatokana na ongezeko kubwa la wanafunzi kupitia MMEM ambalo limepelekea shule mbalimbali zigawanywe kuwa shule mbili au zaidi!

Mtazamo News . Powered by Blogger.