MTANGAZAJI

HIVI NDIVYO MAZISHI YA WAIMBAJI WAWILI WA AMBASSADORS HUKO RWANDAYALIVYOKUWA

Waliokuwa waimbaji wa Ambassadors of Christ waliolala mauti Amosi,Philbert na Gatare Jim Ephraim
Waimbaji wa Ambassadors wakiwa wamebeba jeneza


Mke wa Gatare Jim Ephraim akilia

Umati wa watu ndani ya Kanisa la Waadventista Wasabato Remera wakati wa ibada ya mazishi
Baba wa Gatare Jim Ephraim akizungumza

Mama wa Gatare Jim Ephraim
Ambassadors of Christ wakiimba kwenye ibada ya mazishi kanisani Remera
Kiongozi wa kanisa la Waadventista Wasabato nchini Rwanda  (mwenyemiwani) alitoa maneno ya faraja




Maneno ya mwisho yaliyosemwa na waliofariki, wakiwa safarini kurejea Kigali, Rwanda.

1. "KAZI NILIYOTAKIWA KUFANYA KATIKA KUNDI HILI, NIMEIMALIZA.IMEBAKI KWENU KUIENDELEZA-AMOSI PHARASE 


2. "NYOTE MLIO KATIKA GARI HII, LAZIMA MJUE KILA MTU ANA JUKUMU LA KUONGOZA KUNDI HILI, HATA KAMA KESHO MIMI SITAKUWEPO.-GATARE JIM " 


3. "DADA NAKUOMBA MSAMAHA, HATA KAMA WEWE NDO UMENIKOSEA, NAMI JINSI NILIVYOPOKEA, NAWEZA KUWA NIMEKUKOSEA PIA.-MANZI PHILBERT”

 Maneno yaliyoamsha ari kwa gari zima kuombana msamaha, na haikupita dk 10, ajali ikatokea!

8 comments

israel said...

mungu zilaze roho za marehemu mahali pema peponi amen

Unknown said...

NIME SIKITISWA SANA NA HABARI HIZI. NAPENDA KUWATIA MOYO WAIMBAJI WOTE WA AMBASSADORS KWAMBA WASIKATE TAMAA MUNGU YUKO NAO. WASONGE MBELE KATIKA KAZI YAMUNGU NA MUNGU HATA WAACHA KAMWE. NAWAOMBEA SANA

Unknown said...

Katika dunia isiyokuwa na machozi wala kutengana, hatutaombana msamaha tena kwa kuwa hakuna atakayemkosea mwenzake! rest in peace ambassadors singers!

steven philemon said...

poleni sana ambassadors choir pamoja na ndugu mliofikwa na tatizo hili baya,tuyaonapo haya tutambue yesu yu karibu kurudi tujiweke tayari.

Msafiri Mhehe said...

Poleni sana wafiwa na sote tunaohusika kwenye msiba huu kama ndugu katika Imani. Mungu awalaze kwa amani mpaka pale Tarumbeta ya mwisho itakapolia na katika neema ya Mungu wafu watafufuliwa na kwenda mbinguni na Yesu.
1 Corinthians 15:51-58.

Debora Kiangi said...

Ni masikitiko makubwa kwa sisi sote,ninatoa pole kwa familia,ndugu,jamaa na marafiki.Mungu aendelee kuwa mfariji wetu.

lenny said...

nawapa pole sana waimbaji wa ambassador waliobaki wasonge mbele kwa bidii ili waweze kuingia mbinguni ambako hakutakuwa na vilio wala huzuni.

Anonymous said...

Brothers & sisters in JESUS CHRIST, I was shocked when I heard what happened to your choir. I'm so sorry for the lost. unfortunately it is late to present my sympathy. I learned something from this tragedy: Satan always fights in order to stop what we are doing for GOD. He took your leader,your translator, and the other loved one so you can be weakened. Be strong and courageous. We are still in a journey. SONGA MBELE, JESUS IS WITH YOU.IMANA ibahoze yongere ihoze imiryango yabuze.N'uwubakunda akunda n'indirimbo zanyu Jackie Ny

Mtazamo News . Powered by Blogger.